Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
WIZARA YA AFYA: WANAOSAFIRI MWISHONI MWA MWAKA, WALINDENI WAZEE VIJIJINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa wanaosafiri kwenda vijijini kwa sherehe za mwisho wa mwaka kuwalinda wazee dhidi ya maambukizi ya #COVID19
Ameyasema hayo akiongea na Waandishi wa Habari, Jijini Dodoma ambapo amesema kwa sasa visa vya maambukizi vinaongezeka kwa kasi
Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka, kuvaa barakoa na kupata chanjo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Prof. Abel Makubi ametoa wito kwa wanaosafiri kwenda vijijini kwa sherehe za mwisho wa mwaka kuwalinda wazee dhidi ya maambukizi ya #COVID19
Ameyasema hayo akiongea na Waandishi wa Habari, Jijini Dodoma ambapo amesema kwa sasa visa vya maambukizi vinaongezeka kwa kasi
Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka, kuvaa barakoa na kupata chanjo