Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tukio la juzi,Mei 16,Askofu Bundala wa Dodoma amejinyonga na kamba,waya wa umeme,amejiua kukimbia madeni yaliyokuwa yanamkabili.
1 Reactions
8 Replies
45 Views
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu. Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na...
9 Reactions
127 Replies
2K Views
Mkuu wa mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewaagiza Takukuru kumkamata DED wa Arusha na Watendaji wake wanaotuhumiwa kufisadi tsh 19 million za mwekezaji wa sekta ya Utalij Chamburo Aidha RC...
15 Reactions
46 Replies
1K Views
Hawa watu kwao mpira ni kama Nini sijui maana Kila mechi viwanja vinafurika tena pomoni hata kama kombe halipatikani. Nadhani mpira una tafsiri nyingine Ujerumani ,lazima siku Moja niwe pale...
0 Reactions
6 Replies
114 Views
Ukitazama madogo asubuhi na mapema wanabeba mabegi mazito migongoni kuisaka elimu siku nzima wanakesha mashuleni kurudi mpaka jioni. Wengine wanasomeshwa kwa lazima mpaka siku za weekend lengo ni...
2 Reactions
7 Replies
70 Views
Wanakumbi. 🇵🇸HAMS KWA ISRAEL: UTAJUTA KUVAMIA RAFAH Taarifa Rasmi ya Hamas: "Hatua zilizochukuliwa na jeshi la kigaidi katika maandalizi ya shambulio dhidi ya mji wa Rafah, ambao umejaa wakazi...
7 Reactions
170 Replies
5K Views
Leo azam mpaka muda huu wameshinfwa kutangaza taarifa ya habari baafa ya kila taarifa wanayoitangazangaza wanashindwa kuiunganisha nayo,hawa jamaa ni hovyo kabisa pamoja na uwekezaji wao mkubwa...
0 Reactions
1 Replies
42 Views
Mkuu wa mkoa wa Njombe Antony John Mtaka umekuwa ukisifiwa na wengi Kwa kauli imara za kiongozi. Nakufahamu vizuri, wewe ulianza kama Polisi na ukaacha kazi mara ulipopewa nafasi ya kuwa mkimbiza...
10 Reactions
85 Replies
2K Views
Nipo kwa nyumba ya kupanga nimeagiza mbuzi wa kufuga, hapo napoishi kuna jamaa naona anafungia mbuzi kamba wanajilea tu, sina kwa kuwalaza usiku ila mchana haina shida. Nawaza nikiwaleta...
3 Reactions
9 Replies
106 Views
Kuna chawa , kuna kada,kuna mwanaharakati ila politics ni kifo cha mende, au popo kanyea sinia la wali, politics upside down ,mjinga anajiita mwerevu,mwerevu anaitwa mjinga 🤣🤣🤣🤣, choicevariable...
3 Reactions
41 Replies
416 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,950
Posts
49,646,193
Back
Top Bottom