Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

  • Sticky
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UZINDUZI WA AWAMU YA 4 YA SHINDANO LA “STORIES OF CHANGE” JamiiForums (JF) ni Asasi ya Kiraia yenye Makao Makuu jijini Dar es Salaam. JF inashughulika na Haki za...
16 Reactions
39 Replies
4K Views
Upvote 22
  • Sticky
Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’. Mshiriki atatakiwa kutaja...
17 Reactions
106 Replies
8K Views
Upvote 21
Utangulizi Elimu ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote. Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha kwamba watoto wengi wanapata fursa ya kusoma, hasa katika ngazi za msingi na sekondari...
2 Reactions
9 Replies
121 Views
Upvote 4
TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ZIWE HURU KIBIASHARA. Kipindi cha wakoloni mataifa ya Afrika yalitawaliwa na nchi zilizoendelea hadi zenyewe zilishidwa kuendela, ukiangalia kwa macho ya kawaida utasema...
1 Reactions
4 Replies
126 Views
Upvote 2
INTRODUCTION. NB: picture courtesy of the internet. (Christian and Muslim religious leaders greeting each other is a great solidar ity) 👉In envisioning the Tanzania we want, fostering a...
5 Reactions
21 Replies
183 Views
Upvote 6
Kwa miaka ya hivi karibuni, tumeshuhudia wimbi kubwa sana la wageni wa kiarabu, kutokea nchini Misri wakizungusha Vyombo/bidhaa zao, kwenye Ofisi,shule,hospital na hata majumbani, wakiuza na...
0 Reactions
2 Replies
40 Views
Upvote 0
Tatizo la bei ya mafuta kupanda kila siku ukiliangalia kwa undani lina michezo mingi sana ambayo inachochewa na siasa na ukiritimba wa mifumo biashara iliyoko ndani ya koti la mgongano wa...
0 Reactions
1 Replies
26 Views
Upvote 1
Jina langu ni FRANCIS 0742749886 Mabadiliko ni sehemu ya asili ya maisha ya binadamu, na teknolojia, mazingira, jamii, na uchumi vinaendelea kubadilika kwa kasi kubwa. Katika miaka 5 hadi 25...
0 Reactions
1 Replies
29 Views
Upvote 0
Africa Ni bara tajiri MUNGU amelipa Mali nyingi but still bado Ni maskini. Tuliosoma darasani sababu za bara hili kua maskini kwa mtazamo wangu sio kweli .Tujiulize yafuatayo. Nikweli Africa...
0 Reactions
2 Replies
28 Views
Upvote 0
Elimu bora inamaanisha mfumo wa elimu ambao unahakikisha kila mwanafunzi anapata fursa ya kupata elimu ya hali ya juu na inayomudu kuboresha maisha yake. Hii inajumuisha mambo mengi, kama...
0 Reactions
1 Replies
19 Views
Upvote 0
THE TANZANIA WE WANT Tanzania as a country is blessed with lots of potentials that needs to be utilized in such a sense that they can enable the country to have an outstanding economy.The...
0 Reactions
1 Replies
29 Views
Upvote 0
Utoaji wa dhamana mahakamani hasa kwa kesi za ukatili wa kijinsi kwa watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti kwa kiasi kikubwa zimeendelea kuathiri mwenendo wa kesi hizo kutokana na mtuhumiwa kuwa nje...
0 Reactions
1 Replies
27 Views
Upvote 0
Utangulizi Kutokana na ongezeko kubwa la magari hasa katika maeneo ya mjini ni wakati sasa wa serikali kuchukua hatua madhubuti ili kuimarisha sekta ya usafirishaji nchini na kulinda miundombinu...
1 Reactions
1 Replies
27 Views
Upvote 1
♦️Binadamu ni viumbe wa ajabu sana. Watu wakikuona una uwezo wa kufanya jambo fulani, au pengine wewe ni miongoni mwa watu ambao una ushawishi fulani kwenye Jamii, watataka kukutumia ili...
1 Reactions
1 Replies
30 Views
Upvote 0
Tanzania tuitakayo: Kumekuwa na changamoto kubwa ya vijana walio maliza chuo kukosa ajira , hii inapelekea vijana kuwa tegemezi katika familia zao. Chanzo ya vijana kukosa ajira ni mfumo mbovu wa...
0 Reactions
1 Replies
25 Views
Upvote 0
Nchini Tanzania, hali ya umasikini bado imetamalaki licha ya jitihada mbalimbali kuchukuliwa ili kupunguza umasikini na kukuza uchumi. Jitihada za kupunguza umasikini zimeonekana kuwa na matokeo...
0 Reactions
1 Replies
34 Views
Upvote 2
Vipaji imekuwa ni ajira inayolipa katika inchi zilizoendelea,inchi nyingi zilizoendelea duniani zimewekeza kwenye kutambua na kuibua vipaji vya watoto. Andiko hili linaelezea umuhimu wa Serikali...
0 Reactions
2 Replies
85 Views
Upvote 1
"Tanzania Innovation Hub for Education (TIHE)" ni mradi wa kipekee unaolenga kuimarisha sekta ya elimu nchini Tanzania kwa njia ya ubunifu na teknolojia. TIHE itakuwa kitovu cha ubunifu ambacho...
0 Reactions
1 Replies
32 Views
Upvote 0
Kama tusomavyo kilimo ni UTI wa mgongo pia tunaweza kusema kilimo ni mtaji chakula na fedha Kwa taifa ni kama kilimo kitafanyika Kwa Kwa usasa hasa kuzingatia mbinu sahihi za uzalishaji wa mbegu...
0 Reactions
1 Replies
53 Views
Upvote 0
Elimu ni taa ya nchi na wananchi wenyewe. Elimu ikipatikana Kwa ufasaha Kwa mlaji wa mwisho inachochea watu kuzipenda na kuihitaji katika maisha yao.elimu Kwa baadhi ya wazee wetu walio pata...
0 Reactions
1 Replies
44 Views
Upvote 0
Nimewahi kukutana na msemo mmoja unasema "Maisha yangu yalianza kuwa magumu baada tu ya kutaka kuwa mtu mzuri kwa kila mtu". Kwenye haya maisha unaweza ukawa mtu mwema tu lakini ikawa si lazima...
0 Reactions
1 Replies
53 Views
Upvote 0
Kwa upekee kabisa nipende kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa JF kwa kutuletea jukwaa hili. Nirudi kwenye mada tajwa hapo juu kuhusu Serikali kutoa mkopo kwa wahitimu wa vyuo vikuu...
2 Reactions
4 Replies
122 Views
Upvote 5
Back
Top Bottom