Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Karibuni tuinvest katika soko letu la hisa iwe meridian, iplay8 casino, m-bet, premier betting, skybet, landbrokerz, bet365... n.k...
229 Reactions
401K Replies
32M Views
Hivi ni lini zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura unaanza. Nahitaji kupata kitambulisho cha mpiga kura kabla sijaondoka nchini
5 Reactions
27 Replies
377 Views
E bana wanajamvi inakuwaje? Nyie Sunni tunawajuwa vizuri mlivyo na chuki kwetu. Huu msiba wa mpendwa wetu Ebrahim Raisi ni wetu washia siyo wenu. Acheni kujipendekeza. Mtuache tuomboleze kwa...
1 Reactions
22 Replies
288 Views
Sijamsikia siku mbili hizi. Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja. Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
14 Reactions
76 Replies
1K Views
Habari za awali za helicopter iliyoanguka ikiwa imembeba Rais wa Iran, Ebrahim Raisi maarafu kama "the butcher of Tehran"/mchinjaji wa Tehran huenda imepokewa kwa furaha kubwa na wahanga waliowahi...
15 Reactions
121 Replies
4K Views
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani. Mnapiga na picha na...
17 Reactions
156 Replies
3K Views
Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza. Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe. Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa...
4 Reactions
30 Replies
239 Views
Hii ni list inayo onesha mabunge yanayo ongoza kwa vituko, fujo na vibweka bungeni hapa duniani. 1. Bunge la Taiwan Hii kwangu naanza na hawa wachina wa Taiwan hawa jamaa wanachekesha kweli...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kuna wakati Rais Mobutu Seseseko alianzisha sera ya "African Authentication" iliyokuwa na lengo la Afrika kujitambua. Kama mfano aliamua kubadili jina la nchi hiyo kutoka Belgium Congo na kuiita...
0 Reactions
8 Replies
82 Views
Mtaani kuna mambo sana mimi napenda kula, yanga, kucheza mziki na pombe mara nyingi nikiwa ndani ya vitu hivyo huwa nacheka na kufurahi na kupenda kutania watu huwa ninacheka cheka sana yaani...
4 Reactions
11 Replies
81 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,655
Posts
49,668,594
Back
Top Bottom