Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua...
14 Reactions
71 Replies
6K Views
Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu? Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo...
6 Reactions
9 Replies
62 Views
Wana jamvi, Kama bado hujawahi kukutana na changamoto ya familia unaweza kudhani watu humu wanaleta stori za kusadikika! Mimi na mke wangu tumeishi naye kwa miaka nane sasa na kwa kipindi hicho...
8 Reactions
90 Replies
2K Views
Wakuu hebu fungukeni ni miaka mingapi upo kwenye biashara na je umefanikiwa kutoboa kibiashara? Na ulifanyaje kufika hapo. Nina kaduka kangu mwaka wa tano huu sioni dalili ya kutoboa japo...
6 Reactions
16 Replies
278 Views
  • Sticky
Full name: Liverpool Football Club Nickname(s): The Reds Founded: 3 June 1892 League: Premier League Website: LiverpoolFC.com Ground: Anfield, (Capacity: 54,074) - Pitch 101m x 68m...
124 Reactions
143K Replies
7M Views
Nisikuchoshe usinichoshe, bila kumsifu mama wala chama hata kama una masters, degree au diploma of honor Yani GPA ya nne ma straight A's huku mtaani ni laana tu kwanza unakuwa case study pili...
2 Reactions
5 Replies
45 Views
Hebu nambieni, kwa speed hii[emoji1313] (angalieni hyo picha nilotupia) ndugu zangu utafanyia nini? Huu ni uzembe wa hali ya juu kabisa halafu waziri bado yupo ofisini tu, Taifa limepata hasara...
3 Reactions
5 Replies
38 Views
Habari, Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
2 Reactions
38 Replies
768 Views
Usijidanganye kwenda bondeni kutafuta maisha kama huna msingi, wala kibali. Kama unaweza kulipa nyumba Milioni kwa mwezi hapa Tanzania basi unaweza kuishi huko. Kama unaweza kuishi Masaki na...
78 Reactions
236 Replies
29K Views
Kwa muundo wa Muungano wetu, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na asiye mnafiki, anayeweza kutetea kuwa muundo huu uliopo upo sawa sawa. Ndiyo maana watu wote maarufu, wenye...
13 Reactions
153 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,628
Posts
49,609,111
Back
Top Bottom