Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
1 Reactions
146 Replies
9K Views
kitu chenye baraka wengi hukiombea wakipate, kinyume chake watu huomba kiwaepuke kama watoto ni baraka kwanini watu hawaombei kupata watoto wenye usonji, vipofu, bubu, viziwi, vilema wa viungo...
3 Reactions
11 Replies
67 Views
Bado sijawahi kuona mapigano hatari kw series zote zaidi ya hawa wawili.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hii ni kwa tathmini yangu Mimi kama nitakuwa siko sawia mnisamehe. Unakosaje kumiliki gari na nyumba huku una miaka zaidi ya 5 kwenye utumishi wa umma? Jitahidi mtumishi mwakani uachane na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
-Ndumilakuwili-
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mkurugenzi Mkuu wa PPP nchini Bw David Kafulila kupitia kipindi cha DK 45 kinachorushwa na runinga ya ITV ameeleza kuwa Mwekezaji aliyewekeza kwa Ubia na Serikali ya Paul Kagame ya Rwanda kwa...
7 Reactions
60 Replies
702 Views
Wakuu Nina hili tatizo muda mrefu…. hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale. Nashukuru mungu ni mwanaume ningekua demu nadhan ningeteseka. vitu ninavoogea 1.Deto ya maji 2.Sabuni ya...
1 Reactions
12 Replies
78 Views
Wakuu nimekuwa nikitafakari hii kauli nzito inayotamkwa kila mara na wafuasi wa chama kinachomilikiwa na Mbowe (CHADEMA) kuwa chama chao ni mpango wa Mungu, ila bado sijathibitisha. Hata viongozi...
2 Reactions
27 Replies
162 Views
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imesema hadi kufikia Aprili 2024, kulikuwa na Vituo 3,862 Vilivyosajiliwa kwa Kulelea Watoto 397,935 (Wakiume 175,517 & Wakike...
0 Reactions
2 Replies
61 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,633
Posts
49,636,707
Back
Top Bottom