Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Sina utani kabisa kwenye hili jambo nimedhamilia , kama vijana wa nchi hii ,tuliweka Imani kubwa sana kwa vyama vya siasa vilivyopo ,tangu mwaka 1995 mpaka sasa ,hakuna chama hata kimoja ambacho...
3 Reactions
62 Replies
751 Views
Humu kulikuwa na wimbo wa waamuzi kuwabeba timu fulani ili kubeba ubingwa, lakini waimba wimbo huo hawaonekani pale timu yao ya Simba ikibebwa na waamuzi na kupata matokeo. Leo Simba imepata point...
1 Reactions
5 Replies
132 Views
Wasalaam wana jamvi, Kama kichwa cha huu uzi kinavyosema na nimeamua kuanzisha huu mkasa ambao ni wa kweli kabisa ulishawahi kunitokea kipindi cha nyuma miaka kadhaa iliyopita. Na huu mkasa...
15 Reactions
125 Replies
3K Views
Ukimuona mtu anaichukulia poa Facebook basi huyo sio mfanyabiashara wala mjasiriamali. Hajui chochote kuhusu business. For your information Facebook is more better in business than instagram...
6 Reactions
12 Replies
95 Views
Nimeweka uzi wa kumuomba nguli wa AI na robotics na teknolojia kwa ujumla mh Nape atoe msaada kwa polisi Tanzania kwenye mfumo wao ulioshindwa kupatikana kwa toka siku ya kwamza mods wameufuta...
3 Reactions
34 Replies
244 Views
“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo...
16 Reactions
156 Replies
3K Views
Wale wote tulioomba ajira za muda katika Tume Huru ya Uchaguzi kwajili ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura huu ni uzi wetu. Tupeane updates ya majina yatatoka lini?
2 Reactions
5 Replies
90 Views
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸 Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri. 1) Upande wa ndege hawana mpinzani 2) Mambo ya space science ni hatari...
17 Reactions
176 Replies
4K Views
Waliofanya hii kitu inatakiwa wawe nyuma ya nondo bila hata maswali mengi. Haina haja ya kupoteza tena fedha kufanya uchunguzi. Milioni 50 ziko wapi hapa?
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Mtanzania Mansoor Daya amefariki dunia jijini Dar es Salaam. Daya alikuwa mtu wa kwanza nchini kufungua kiwanda cha madawa Tanzania na Afrika Mashariki mwaka 1962 akianza kwa kuziuzia nchi jirani...
6 Reactions
44 Replies
639 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,667
Posts
49,637,599
Back
Top Bottom