Chief Executive Officer wa PPP Tanzania Bwana David Kafulila amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu imeamua kuzika kabisa tatizo la Umeme Tanzania.
Pamoja na Bwana la Mwl Nyerere (SG) baada ya...
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu.
Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake walijikusanya...
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini
Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki...
Ndugu zangu Watanzania,
Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la...
Mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 hadi kumi kwa mwezi na bado hizo zinaonekana eti ni ndogo.
Ila mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh laki 3 kwa.mwezi ( hiyo...
Hizi ni baadhi ya shida za Wananchi ambazo Mkuuu wa Mkoa anapaswa kuzitatua.
1. Mimi nilikuwa Mzuri ila mume wangu kanifubaza kwa Mateso Mkuu wa Mkoa nisaidie" hiyo ni Kauli ya mmoja wa wanawake...
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa
Tuko kwenye foleni kupisha Mwenge.
In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge!
Disappointment ya hali ya juu.
Hayawi hayawi mwisho yamekua kuna baadhi ya watu wanaamini kwa asilimia mia kuwa Azam fc atashinda mbele ya Simba sc nawaambieni futeni wazo hilo kwani azam atakufa kifo cha mende kama hatodhibiti...
Hakuna wanaume ambao wanakera wanawake kama wale wanaume ambao wanaremba kutongoza. Unakuta lijitu linamuonyesha dalili dada wa watu kuwa linampenda, linamtoa out, kumsifia kila siku, kumuangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.