Upendo kwenu wana MMU.
SABABU 3 NILIZO NAZO NI HIZI:
1. Kupenda ni hisia inayo weza badirika- kama itakuwa ni primary reason ya mahusiano husika basi siku hisia hizi zikibadirika mahusiano...
Kwa kweli mzee wa watu anatia huruma hana wa kumsemea ameamua kunyamaza, ila nadhani akifungua mdomo Tina atatafuta pa kujificha.
Tina kila siku ni kumchamba mzee wa watu, yaani ukae kwenye ndoa...
Wengi wamesikia kuhusu kauli ya Nape akiwa Bungeni akilalamika na kufoka kuhusiana na kauli ya Tundu Lisu aliyoitoa, akimtaja Rais Samia ni Mzanzibari. Hoja aliyoisimamia Nape ni kule kumwita Rais...
Natumai wote ni wazima katika siku zangu chache hapa Jamii Forums.
Hasa Jukwaa la Mahusiano Mapenzi na Urafiki nimegundua jambo ambalo naona ni vizuri nikasema ninavyoliona;
Ukisoma katikati ya...
Najua Mijuha ( Fools ) watakuja hapa Kunishanga na Kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais ( ADC )...
Wakuu habari.
Hii nimekuwa nasikia sana kuwa unapoenda kutoa mahari huwa hatumalizi unatoa robo tatu ya ile uliyo pangiwa, hata mimi nilitoa nusu mpaka leo sijamalizia sijui kwa wenzangu...
Habari wana Jamii Forums.
Ni matumaini yangu mnaendelea vizuri kabisa, mpo mnawaza mambo mawili matatu kwa ajili ya kuendesha gurudumu la Maisha.Sasa nina tatizo nitaomba ushauri uliojaa busara...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, ile wiki ya Maandamano awamu ya kwanza, inahitimishwa leo, ambapo Mjini Morogoro kunafanyika maandamano yenye lengo la kupinga Ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za...
Nishawahi soma hapa jf hasara za kuwa na mahusiano au mapenzi na ndoa za mbali.
NIMESHUHUDIA-jamaa yangu alipata mchumba ambaye walikuwa wanasoma naye chuo fulani huko morogoro, mara baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.