Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza...
-1 Reactions
22 Replies
280 Views
Mzuka Wanajamvi! Wanajamvi nakuja kwenu kuwaomba mnisaidie kuchagua kati ya haya majina niliyoyaoroshesha ni lipi? Nataka kubadilisha majina. Nataka tu moja kutoka kwenye hii orodha chini. 1...
3 Reactions
13 Replies
74 Views
Dr Hussein Mwinyi mhitimu wa Degree ya uzamivu inayohusiana na mwili wa binadamu ni physician mbobezi kabisa ni mtu makini anayejituma mpenda haki, mtulivu asiye na makundi anachojua ni...
0 Reactions
3 Replies
92 Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
20 Reactions
669 Replies
18K Views
Nduguzangu leo nimerudi nyumbani jioni nimemaliza kula nikawa naangalia movie sasa chumbani kwangu huwa kuna panya nikawa nimemuingiza paka ili awinde sasa mkewangu huwa hapendi japo nilisha...
3 Reactions
8 Replies
56 Views
1. Kunyamaza wakati fulani maishani mwako siyo kipawa bali ni nidhamu (1 Wathesalonike 4: 11). 2. Nyamaza unapohisi hasira (Mithali 14:17). 3. Nyamaza unapokuwa huna taarifa ya kutosha au...
31 Reactions
64 Replies
741 Views
ON SALE🚘 TOYOTA RUMION Reg number ....EAS 0768160670 LOW MILEAGE 81000 YEAR 2OO8 ENGINE Cc 1490 💺 🫧 CLEAN SEAT Price (15,700,000) ✅Exchange allowed 📍Loc Dsm
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha. Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Ndugu wana JF - Jukwaa la Siasa; Mjadala wa muungano tata wa Tanganyika na Zanzibar (1964) unaendelea tena leo.... Na kwa kweli mjadala huu haupaswi kuishia njiani isipokuwa tu wote tumeelewana...
7 Reactions
166 Replies
3K Views
Johnson Mshana (28) amehukumiwa miaka 25 kifungo cha nje kwa kujaribu kuvunja gereza la Halden nchini Norway ili aingie ndani. Mshana ambaye aliachiwa huru mwezi mmoja ulipita kutoka gereza hilo...
1 Reactions
4 Replies
141 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,304
Posts
49,657,606
Back
Top Bottom