Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baby . Reo nirienda kupima mareria nikaambiwa na dokita nina yutiyai,naomba unitumie era ya dawa,nitafulai sana........ Mwanamke wa hivi ni bora nikae mwenyewe
16 Reactions
33 Replies
269 Views
Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa...
5 Reactions
91 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Naomba kujua ikitokea umepewa nafasi ya kushauri siku ya leo May 20,2024 Je utampa ushauri gani Waziri Mkuu Benjamin Netanyau? Niwatakie...
2 Reactions
37 Replies
736 Views
Wakuu... Baada ya kuuza Rumion yangu siku ya jumatano uliyopita nilingia fasta mitandaoni kuagiza gari ninayoikusudia. Siku ya alhamisi asubuhi nilienda Kwa agent ili nianze process za kulipia...
0 Reactions
1 Replies
20 Views
Leo ndo ilikua siku ya pili na siku ya Isreal kujitetea kuhusi tuhuma za mauuwaji ya haraiki (genecide) na war-crime uhalifu wa kivita. Jana south Africa ilitoa hoja na maombi dhidi ya israel...
10 Reactions
123 Replies
4K Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
150 Reactions
13K Replies
4M Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
518K Replies
30M Views
Hu ni mfano hai katika maisha ya kila siku, sio kwamba kufanya kazi sanaa ndo kupata utajiri au ufahari kazi ni kipimo cha utu ni slagon tu. Ukiangalia katika mchezo timu ya Arsenal haijawahi...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wanaume hii yetu; Hivi ulishawahi kukataliwa ukweni Mwanamke ulitaka kumuowa kisa mahari
1 Reactions
4 Replies
75 Views
Habari za uzima, naamini mmeamka salama, wale walio na magonjwa Allah akawape wepesi na mlio hospitali Mungu akawape wepesi pia mtoke huko, sio kuzuri na hakuzoeleki. Rejea kichwa cha habari hapo...
4 Reactions
74 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,400
Posts
49,661,712
Back
Top Bottom