Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema litaendelea kuwashukuru wananchi wanaoendelea kushiriki katika jitihada za Serikali katika kuboresha mazingira bora na yakisasa katika vituo vya Polisi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mimi sijaoa Ingawa naelekea huko. Uzi wangu ni kwa dhumuni la kujifunza, hasa kutoka kwa wenye ndoa. Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana. Sasa jana kuna movie moja ya Ki-Nigeria...
20 Reactions
383 Replies
3K Views
Unamshauri nini au una maoni gani juu ya mtu yoyote anayekusudia kugombea nafasi yoyote ya uongozi nchini kufuatia uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na Serikali kuu? Unamshauri nini azingatie na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Jaribio la kumuondoa uhai limefanyika jana. Na mpaka sasa hakuna report yeyote official ya kinachoendelea iliyotolewa na ufalme wa Saudi Arabia. Saudi Arabia imekua ni mshirika mkubwa wa Marekani...
3 Reactions
32 Replies
962 Views
Swal kwa wajuzi Ni kweli hata km nin 6m ya kuanza biashara ya mikopo lazima niweke 10m fixed depost Benk kuu? Je ni kweli ada ya maombi ya leseni ni 5k?
1 Reactions
4 Replies
5 Views
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemrejesha kwenye nafasi yake aliyekuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii (NPHL), Dk Nyambura Moremi aliyesimamishwa kazi Mei 4, 2020 kupisha uchunguzi...
15 Reactions
107 Replies
5K Views
Habari za mvua Wadau. Nahitaji nyumba ya kununua maeneo ya kuanzia Ubungo kuelekea Kibaha. Kwenye Mfuko wa shati kuna TZS. 30M. Mawasiliano piga 0784636291. Ahsante.
1 Reactions
4 Replies
15 Views
Mpaka nimeamua kukuandika sijui nifanye nini, mimi ni kijana wa miaka 33 nimeoa na nina mtoto mmoja na sasa hivi mke wangu amekwenda nyumbani kwetu kujifungua na hii ndio sababu ya mimi kuja...
12 Reactions
155 Replies
6K Views
Moyo Moyo wa kibinadamu baada ya kutolewa kwenye maiti kwa utafiti wa kiganga Moyo kama ishara ya upendo Muundo wa moyo wa kibinadamu *1 Vena kava ya juu (damu inaingia kutoka...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!. Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI...
2 Reactions
30 Replies
707 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,879
Posts
49,588,536
Back
Top Bottom