Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimewaza kwa upande wa pili kwamba ikitokea Mossad (Israel) au taifa lolote la kigeni lilihusika kwa ajali iliyotokea nchini Iran....Majibu ya Iran sasa (hiiiiii.... in mwendazake voice) yatakua...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
American-Israel Mercenary Benjamin Reuben Captured During Failed Coup-Attempt in the Congo MAY 20, 2024 American-Israeli mercenary Benjamin Reuben has been captured after a failed coup in the...
1 Reactions
6 Replies
167 Views
Kosa langu nini ni Vannesa? Mchana usiku bado nakuwaza Vannesa. Siku wiki miaka inapita bado nakuwaza Vannesa . Kosa langu nini Vannesa? Kwa jina naitwa Assenga Mashauri . Ni kijana wa miaka 28...
4 Reactions
55 Replies
681 Views
Siku moja mume akondoka asubuhi kwenda kazini na kumuaga mke wake anaenda kazini. Jioni akarudi akiwa na msongo wa mawazo. Mke akamuuliza kulikoni mume wangu. Mume:- Kazini ofisi imeungua na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwema wanajf, Naomba kujuzwa taratibu gani za kufuata unapohitaji kuoa mke wa kiislamu, kijana wenu nahitaji kuoa aisee nasikia ndoa tamu sana. NB, wale kataa ndoa msichangie
3 Reactions
8 Replies
98 Views
Waziri Mkuu Bibi, katika kauli thabiti na pasipokupepesa macho ametoka hadharani kulaani kile alichokiita makosa makubwa ya Muendesha Mashtaka wa ICC. Netanyahu anasema Israel itajilinda na...
0 Reactions
2 Replies
34 Views
Nimetoa mahali mie sio muhusika huyu mtu anaomba ushauri wenu. Anaishi na mkewe na wameoana ila mke wake anamkasirikia maana huyu kaka analala kitanda kimoja na namama yake. Yeye amesema wala...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kuna kaka (baba) mmoja anakopesha kwa riba, akawa ana date dada mmoja mke wa mtu.... Yule dada na mumewe wakapata dharura, akashauri mumewe wakope pesa kwa mchepuko (mumewe hajui kama mkopeshaji...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
ni vizuri zaidi kumshukuru na kumuomba Mungu kila wakati, bila kuchoka wala kukata tamaa. sio tabia njema wala sio tabia nzuri kujenga mazingira au hali ya huruma na kuombaomba kwa wanyonge ambao...
0 Reactions
3 Replies
29 Views
Utambulisho wa Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Bungeni wakati wa Uwasilishwaji wa Bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, tarehe...
3 Reactions
12 Replies
411 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,533
Posts
49,665,583
Back
Top Bottom