Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tumeanza mechi. Kikosi cha Azam FC kinachoanza Kikosi cha Coastal Union kinachoanza Dakika ya 41 Azam wamepata penalty... Gooooal - Sopu
3 Reactions
26 Replies
791 Views
Wadau mimi nimekuwa atheist kwa miaka 20...sasa nikiwa mdau mkubwa sayansi technology and fact ...scientific theories Nimekua nikiiona huruma sana jinsi dini ya ukristo inavusambaa kwa kasi...
0 Reactions
7 Replies
66 Views
Hii ndio Habari mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa, kwamba yule Nesi Mwamba aliyehakikisha Lissu anaendelea kupumua amekutana na Tundu Lissu Jijini Dodoma. Pamoja na mengi yaliyozungumzwa kati...
41 Reactions
266 Replies
7K Views
Lissu anapita huku na huko kumkandia raisi Samia kuhusu uzanzibari wake, lissu ni mtu asiye na shukurani wala kumbukumbu kuwa wakati amenyukwa zile njugu na kupata ugumu wa ndege kuruka na hicho...
0 Reactions
4 Replies
66 Views
Ni kawaida kwa taasis za serikali kukuta viongozi wote ni wakristo. Lakini ikitokea viongozi wa wili tu yaani mkuu wa taasiai na msaidizi wake ni waislami kelelwe nchi nzima. Nimemaliza.
2 Reactions
18 Replies
133 Views
Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican. Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic ambapo mkuu wa kanisani hilo ni Papa. Pale Italia wana pesa yao, ila...
7 Reactions
24 Replies
1K Views
Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
2 Reactions
190 Replies
12K Views
Mdoli huyu hata vitoto vyenye certificate ya electronic ya pale VETA vinaweza kuujenga. Mdoli eti mpaka uusogelee usubiri dk kadhaa apate hisia ya kunyoosha mkono . Mdoli waneupaka rangi ya...
23 Reactions
95 Replies
3K Views
Nahitaji Hard Disc Nipo Shy Town mwenye nayo Tufanye Biashara Ukubwa 1Tb 2Tb 3Tb na Kuendelea NOTE: Sihitaji Za Madukani Bei Gali Sana .
0 Reactions
1 Replies
23 Views
Wakuu salaama! Nikawaida sana sisi wanaume kutongoza Tena bila kujari mwanamke anacheo Gani kaolewa ana mchumba au lah. Mara zote yeye ndo husema kama ana mtu ama ana kazi gani. Mdada mmoja...
0 Reactions
3 Replies
4 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,016
Posts
49,648,320
Back
Top Bottom