Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salamu. Kuna taarifa zinavuma kwamba kuna walimu wa huko Minjingu wa shule za msingi wamefukuzwa kazi. Inadaiwa barua zao zimetoka Tamisemi za kufukuzwa kazi. Mlioko huko naomba mtujuze zaidi ama...
0 Reactions
6 Replies
7 Views
Maisha haya tabu tupu. Kuna binti mmoja anafanya kazi hoteli fln hapo mlimani. Huyu nilimuona mara moja tu nikamtamani, baada ya kunihudumia nikamuachia tip nzuri tu na wala sikuchukua namba...
4 Reactions
31 Replies
408 Views
Kuna mtu anaitwa Eldadi, mwingine ni Elia kumenya na mch. Flora! Je, ni nguvu gani wanatumia kutabiria watu vifo? Kurogwa na mambo mengine kama hayo. Kwa anayewafahamu anisaidie
1 Reactions
50 Replies
641 Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
8 Reactions
38 Replies
255 Views
Dah tuweni makini UKIMWI upo. Humu ni post za mapenzi tu sijui hili au lile . Haya 1.6 ml wanao umeme . https://youtu.be/eVKa-dIWbdk?si=Eed0o5VAQM4ixvF2
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Wala sina mengi ila nimeshangazwa sana. - Ni vile tu siwezi sema shkamooi kwa hivi vibint ya 2000's, ila yamenitokea na yamenikuta - Ni leo leo wala sio juzi au jana nikiwa katika harakati zangu...
7 Reactions
81 Replies
931 Views
Habari wakuu Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani Kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo Ni moja ya watu tunatamani kuona...
0 Reactions
5 Replies
115 Views
Dah tuweni makini UKIMWI upo. Humu ni post za mapenzi tu sijui hili au lile . Haya 1.6 ml wanao umeme . https://youtu.be/eVKa-dIWbdk?si=Eed0o5VAQM4ixvF2
0 Reactions
4 Replies
5 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
156K Replies
8M Views
Sababu 3 kwa nini dola haiwezi kuondolewa kama sarafu kuu duniani. Hadhi ya dola kama sarafu kuu ya benki kuu na kwa biashara ya kimataifa pengine haififii hivi karibuni, kulingana na Morgan...
1 Reactions
10 Replies
565 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,828
Posts
49,614,913
Back
Top Bottom