Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau, kama nilivyosema hapo juu. Mimi ni kabwela tu hapa mjini "Common Man". Kipato kinategemeana na kupanda na kushuka kwa thamani ya dola. Sasa nimewaza, kutungua kitu show room siwezi. Kumvua...
2 Reactions
12 Replies
313 Views
KWA MAOMBI TULIOFANYA LEO ALIEPIGA FAMILIA YAKO NDOA YAKO NA SASA UNATESEKAAA KATIKA JINA LA YESU ALIEHAI NINAEMWAMINI AKAPIGWE NA FAMILIA AKATESEKE NA KIZAZI CHAKE CHOTEEE YALE ALIOPANGA...
0 Reactions
4 Replies
53 Views
Watumiaji wa intaneti nchini Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda wamekuwa wakilalamikia ukosefu wa intaneti huku watoa huduma kote Afrika Mashariki wakikiri kumekuwa na tatizo. Wamesema...
0 Reactions
11 Replies
407 Views
Mara kwa mara nimekuwa nikiona hili neno kuwa mnasema mara nyingi Uislam ni Dini ya haki na sometime mmekuwa mkiwaita Dini nyingine Makafiri, hayo maneno yamekuwa ukinitatiza sana Lakini mimi...
13 Reactions
87 Replies
2K Views
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe. 2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifana bandari kujengwa Bagamoyo.
3 Reactions
32 Replies
326 Views
"Samahani sana ninavyokuona sio kama nilivyotegemea, HATUENDANI"... baada ya kusema hivyo jamaa aliyekuwa naye kwenye Toyota Hiace nyeupe akaniangalia na kutabasamu kisha akaondoa gari. Mimi...
38 Reactions
165 Replies
5K Views
Kuonesha wazi UN wamejikita wakingia kifua wa Hamas, mambo yamekuwa Magumu sasa kuhusu Idadi ya Watoto na kina Mama waliopoteza uhai tokea Ugaidi wa Hamas ulipoibuka ghafla Mnamo October 7th 2023...
0 Reactions
2 Replies
133 Views
Kwema Wadau? Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu...
11 Reactions
102 Replies
1K Views
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki. Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe? Akitokea kichaa mmoja tu...
2 Reactions
18 Replies
374 Views
Salaam! Kama members wa JF ni wengi siyo mbaya na sisi wengine tuwe tunaanzisha uzi kuliko kila ukiingia unakutana na nyuzi za watu wale wale! Uzi Mkuu! Kila nikijaribu kuangalia mahudhurio...
0 Reactions
10 Replies
240 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,650
Posts
49,610,032
Back
Top Bottom