Men do not benefit from marriage!!!
1. He is 72 years old.
2. He has retired from active service.
3. He worked all his life to raise his children.
4. He deprived himself of life's pleasures to pay...
Kosa langu nini ni Vannesa?
Mchana usiku bado nakuwaza Vannesa. Siku wiki miaka inapita bado nakuwaza Vannesa . Kosa langu nini Vannesa?
Kwa jina naitwa Assenga Mashauri . Ni kijana wa miaka 28...
Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo Yani wamekuacha.
Je, utakuwa Karibu nao kwa kujipendekeza ili wakupe connection Au utaamua kujitenga nao?
Ligi ya NBC inaendelea leo ambapo Simba SC itapambana na Geita Gold kwenye uwanja wa Chamazi Complex.
Simba inatafuta nafasi ya 2 huku Geita Gold ikijinusuru kushuka daraja.
Mechi hii itapigwa...
Zamani niliwahi kusikia kwamba watu huangalia video za ngono kwa ajili ya kujifunza style mbalimbali za kufanya tendo la ngono.
Leo hii watu wengi wamekuwa waraibu wakubwa wa video hizo kiasi...
Mimi ni kijana Ambae nimezaliwa mwanzoni mwa mwaka 1990. Hapa hapa kwenye jiji la MAKONDA. Japo Baba na Mama yangu Kila mmoja ni mwenyeji wa mkoa wake.
Mama yangu alibahatika kusoma Hadi darasa...
Maisha yangu kwa muda mrefu nimekuwa nikiwa mdau wa kupenda sana ku hang na marafiki, nilipofika kwenye 25 nikaanza ku hang zaidi na small circle ya marafiki watano tu ambao tupo karibu sana
Kwa...
Ndugu zangu wana Jf habari zenu.
Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
Mahakama ya uhalifu wa kivita yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi imetoa hati ya kukamatwa kwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wake wa usalama Yoav Gallant kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.