Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

CEO wa PPP Bw David Kafulila amesema Mpango wa Serikali ya Tanzania wa Miaka Mitano umelenga kutekeleza jumla ya miradi yenye thamani ya TZS 114 Trilioni, TZS 40.6Trilioni zitatoka katika...
17 Reactions
92 Replies
2K Views
Kuna wale ambao mungu ametupendelea hata tukikaa jela miezi kadhaa huwa hatuchuji, tunafanyiwa figisu za hapa na pale ili tuharibikiwe na kufubaa lakini bado tunazidi kung'aa tu na maadui zetu...
6 Reactions
70 Replies
1K Views
Tanzania imetajwa kama nchi ya tatu ambako wafanyakazi wake wana stress za kufa mtu. Hii ni kwa mujibu wa taasisi inayojihusisha na takwimu mbali mbali ya Gallup ya Kimarekani...
1 Reactions
6 Replies
12 Views
Labda Mimi elimu yangu ndogo, Mchina ana technology gani ya kumzidi USA🇺🇸 Nikiangalia wale mabwana kila sector wapo vizuri. 1) Upande wa ndege hawana mpinzani 2) Mambo ya space science ni hatari...
17 Reactions
182 Replies
4K Views
Itsa WEEKEND. Tuanze nayo hivi basi ... 1BR Sarah anatafuta makazi mapya hapa jijini Los Angeles lakini kazi hii inakuwa ngumu sana. Kwanini? Pesa ndogo. Akipata panapofaa, basi kodi ni kubwa...
1 Reactions
11 Replies
164 Views
Mwenyekiti wa CUF Prof Lipumba amewataka Watanzania kamwe wasikubali kurudi kwenye Bakora za Shujaa Magufuli aliyewanyoosha kwa kuzuia mikutano ya kidemokrasia Kuna watu wanasema udikteta ni...
0 Reactions
12 Replies
209 Views
Ukiona hii chapa, basi ujue humo ndani sio drama, mapenzi wala vita. Hawa jamaa hawana mambo hayo. Hawa wameletwa duniani kwa kazi moja tu, kuwafurahisha wapenzi wa 'horror' na sie tunawashukuru...
7 Reactions
50 Replies
911 Views
HABARI WANA JF LEO TUPEANE MBINU NA TUWAPE MBINU VIJANA WENZETU AU NDUGU ZETU NAOMBA LEO TU SHARE IDEA JE ULITUMIA NJIA GANI KUACHANA NA MCHEZO MCHAFU WA KUJICHUA ??????????
0 Reactions
8 Replies
56 Views
Huduma za Internet kwa mitandao ya Tigo, Voda na Airtel kwa Tanzania ni mbovu mno. Mtu unaweka bundle lakini mpaka inaisha unakuta hujatumia ipasavyo kutokana na kukatika katika kwa huduma...
12 Reactions
71 Replies
2K Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu leo 17/05/2024 amekabidhiwa lile gari lake alilokuwemo siku mawakala wa Shetani walipoamua kumuua baada ya kushindwa...
21 Reactions
137 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,854,673
Posts
49,637,749
Back
Top Bottom