Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Iko hivi. Huyu jamaa alikuwa mchizi wangu tokea utoto (maana tulicheza wote mpira na gololi mitaa fulani ya Arusha). Kipindi tumeanza kwenda shule za boarding (baada ya la saba) ndio tukawa mbali...
1 Reactions
7 Replies
8 Views
Biashara yakuuza dola imekuwa na mkanganyiko mkubwa. Mabenki na taasisi za kubadilisha fedha wametangaza hawana dola. Ila yapo maeneo sasa hivi unanunua dola kwa bei karibia na elfu tatu na fedha...
0 Reactions
8 Replies
102 Views
Hello there, On my line of work, I'm enclosed with vast law enforcement personnel. My demeanor is that I never try or force to be close with someone just because she or he have a certain status...
5 Reactions
17 Replies
151 Views
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki...
29 Reactions
478 Replies
5K Views
WALIMU VIJIJINI KUBORESHEWA MAZINGIRA YA KAZI Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb) amsema Serikali inatambua umhimu wa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Alianza kunitafuta toka last week na kujisemesha semesha kuwa ananimiss na namiss jinsi ambavyo tulikuwa tunakutana kimwili kisawa, mimi nikawa namjibu tu kifupi. Huyu demu aliamua kuachana nami...
7 Reactions
24 Replies
469 Views
Unaweza ukapoteza single mother wa kukusaidia maishani kwa sababu ya uchoyo na ubinafsi na chuki na kiburi.huijui kesho yako wape watu nafasi waishi.unaweza kukuta huyo unayemuona hajazaa amewahi...
7 Reactions
41 Replies
493 Views
Taja film za kutisha nzuri kwako plus tamthilia. Zangu the walking dead hasa ilipokuwa inatafsiriwa na dj ommy. Conjuring zote plus Anabelle, the nun, ghost house, the hunted house, the animal, etc
3 Reactions
4 Replies
353 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Tanzania Mhe David Kafulila amesema ule mradi wa barabara za kulipia(toll road) uliokwama tangu awamu zilizopita Sasa kwenye awamu hii ya sita umeiva. Mhe Kafulila...
13 Reactions
89 Replies
2K Views
Mchezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania analipwa sh milioni 5 hadi kumi kwa mwezi na bado hizo zinaonekana eti ni ndogo. Ila mwalimu wa shule ya Msingi analipwa sh laki 3 kwa.mwezi ( hiyo...
5 Reactions
57 Replies
416 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,750
Posts
49,580,239
Back
Top Bottom