Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Taarifa yao iliyosambazwa na Mkurugenzi wa Itifaki, John Mrema hii hapa.
5 Reactions
45 Replies
952 Views
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia hivyo basi naomba kufahamu kama...
5 Reactions
24 Replies
96 Views
Salaam, shalom!! Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na...
2 Reactions
39 Replies
574 Views
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu...
10 Reactions
66 Replies
2K Views
Azam inaonekana timu kubwa katika makaratasi lakini ukweli ni timu ndogo kutokana na viongozi waliopo na hata wajao. Kuendelea kubaki kucheza mechi za ligi zinazoandaliwa na TFF kutaimaliza...
4 Reactions
15 Replies
237 Views
Nje ya Siasa makamu Mwenyekiti wa Chadema, mh Tundu Antipas Lissu anaelewa Wazi kama kweli DP World wameuziwa Bandari basi Muuzaji ni Wabunge zaidi ya 300 wa Tanganyika waliopo bungeni kwa sasa...
4 Reactions
48 Replies
569 Views
PIUS LYAMBISE na NESTORI GABULIELI wanashtakiwa kwa kuomba hongo ya Sh. 200,000/- kinyume na kifungu cha 15 (1) (a) na (2) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329 marejeo ya Mwaka...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mwarabu kaja na majahazi hapa Kaleta Dini kwa Mwafrika kwao kuowa Dada zetu Africa ni Ruksa ila ukitaka vita nenda kaowe Dada zao wa kiarabu au ingia kwenye mahusiano na Binti wa kiarabu hata muwe...
2 Reactions
15 Replies
252 Views
Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake...
2 Reactions
22 Replies
194 Views
Habarini wana JF, Mimi ni kijana Nina miaka 25, natafuta kazi nimesoma clinical medicine, nipo registered na leseni ninayo, naomba kazi dispensary au health centre, Kwa Sasa nipo mwanza...
2 Reactions
5 Replies
74 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,911
Posts
49,583,229
Back
Top Bottom