Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna mada nimeziona nyingi kuhusu wadudu. Ukweli ni kwamba wanaotrend sana kama wadudu kipindi hiki sio wadudu. Kwanza hao ni wakuja tu huyo kenyoyo sio wa Arusha ni wa Mto wa Mbu. Wadudu OG ni...
1 Reactions
12 Replies
301 Views
Salaam, shalom!! Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na...
0 Reactions
6 Replies
92 Views
Iko hivi. Huyu jamaa alikuwa mchizi wangu tokea utoto (maana tulicheza wote mpira na gololi mitaa fulani ya Gachustan/Arusha). Kipindi tumeanza kwenda shule za boarding (baada ya la saba) ndio...
7 Reactions
69 Replies
680 Views
Ni muda mrefu sasa baada ya kilaza kupewa Cheti kutoka UDOM kwa msaada wa Baba yake aonekana.
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kwa mujibu wa nyaraka za Sumeria , zinazungumzia namna Binadamu alivyotokea , Binadamu alitengenezwa maabara (Genetic engineering) na kazi yake ilikuwa ni kufanya kazi kwenye migodi ya dhahabu...
13 Reactions
66 Replies
4K Views
Nimeona nije nipate michango ya wanajamvi kutokana na kwamba jukwaa hili Lina wasomi na madaktari wengi. Kwasasa vijana wengi tumeangukia kwenye wimbi la kujipima na Kula tunda kavu, ata huko...
4 Reactions
83 Replies
1K Views
Habari wanajamvi?natumai wote niwazima. kwa mujibu wa imani zetu wapo wanao amini binadamu ameubwa na MUNGU,hii nikutokana na simulizi na vitabu vya dini. pia wapo ambao wana pinga kwamba kwamba...
0 Reactions
9 Replies
107 Views
Habari JF , TL na JPM personality zao zinafanana sana ukiachana tofauti zilizopo za kisiasa na ni wazalendo kweli kweli Hivyo Kiuhalisia hakuna zuri ambalo JPM alifanya Tundu lissu asingefanya...
10 Reactions
63 Replies
896 Views
Umefika wakati sasa, tuwaamini akina mama katika kujenga Jamii yenye usawa kiuongozi. CCM wamefanya vizuri sana na kwa hakika wamefungua njia, hivi punde tutashuhudia teuzi mbalimbali zote...
1 Reactions
5 Replies
105 Views
Jana niliangalia El classico lkn lengo langu kuu ilikuwa ni kutazama bwana mdogo ambaye amekuwa akiimbwa sana kwenye platform za social media Jana nimeangalia mechi ukitoa zile goli alizofunga...
9 Reactions
88 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,800
Posts
49,581,184
Back
Top Bottom