Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimekuwa nikipewa salamu na vijana wenzangu mpaka inafika pahala ncheka tu na kushindwa ku respond, wengi wanadhani umri wangu ni mkubwa kufika 30. Kumbe bado hata 25 sijafika. Huwa najiuliza...
26 Reactions
311 Replies
6K Views
Kwa barabara za mjini Dar, ujenzi wake ni kila mwaka, barabara hizi hujengwa kwa gharama kubwa, lakini kila mwaka zinatengeneza mashimo. Ukiangalia zile barabara zilizojengwa na kampuni ya...
0 Reactions
8 Replies
93 Views
Ninawasanua makada wenzangu wa chama chetu CCM, hebu tujaribu kulijibu hilo swali kimantiki!! Hoja za lissu tumeshindwa kujibu na hilo swali tunaweza kulijibu? Ifikie hatua tuache kujibu mipasho...
2 Reactions
8 Replies
202 Views
Mimi sio shabiki wa KATAA NDOA ila kwa hili wapo sahihi OKOA kibunda
7 Reactions
12 Replies
142 Views
Kila mtu wangu wa karibu aliyefanikiwa kupelekwa polisi Kigoto maeneo ya Kirumba alirudi na kusimulia upendo uliopita kiasi ndani ya Jeshi la polisi nchini. Inasemekana ndani ya selo za Kigoto...
0 Reactions
3 Replies
17 Views
Moja kwa moja kwenye mada… Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe.. Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa...
34 Reactions
187 Replies
2K Views
YAANI UPEPOOO WA LEOOOO JAMAN MMEUONAAA KWAMARA YAKWANZA NAONA MABAYI KMR YANARUSHWA NA UPEPOO JAMANI HUYU KIMBUNGA HIDAYA HAFAII HAFAIII NA TAARIFA SAATISA USIKU TUJIPANGE HIVI SASA MTWARA...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kadri miaka inavyozidi kwenda, pia speed ya muda unaongezeka. Siku hizi unashangaa tu kumekucha hujakaa sawa giza hilo. Je kuna uwezekano dunia iinazunguka kwa kasi with time, I mean kadri...
6 Reactions
46 Replies
485 Views
Nilikuwa nasoma uzi wa Furtunatus Boyombe kuhusu idadi kubwa ya wahamiaji haramu ambao wako serikalini kwa idadi kubwa wote Wana akili kubwa kubwa mno Mfano wengi unaawakuta wako BOT UDSM SUA IFM...
1 Reactions
24 Replies
219 Views
Salama kitu gani? Nimetoka kibaruani nimejichokea, hapa ndani ya mji mdogo wa Himo mara bila kutegemea naparamiwa na msichana ananililia, anaomba aokolewe mpenzi wake amelewa anampiga na marungu...
4 Reactions
17 Replies
387 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,889
Posts
49,558,411
Members
667,685
Latest member
Shagihelo
Back
Top Bottom