Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

A 30-year-old from Dar es Salaam is on the loose and craving some dinner company tonight! After a week of work in your lovely city, he's ready to spice up his evening with good food and even...
4 Reactions
28 Replies
352 Views
Mimi nliwahi nusurika kuzama baharini,pale coco beach. Kipindi nasoma nna kama miaka 17 nliingia na wenzangu kwenye maji ila upande wangu sikushika boya nliingia kama nlivyo,usawa wa magoti...
18 Reactions
120 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa CCM anazungumza na waandishi wa habari na wanaCCM katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma. Kikwete anategemewa kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo kujibu shutuma mbalimbali...
10 Reactions
109 Replies
2K Views
Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa. Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz...
7 Reactions
43 Replies
435 Views
Hii maana yake ni kwamba, Kila jambo litakaloanzishwa na Chadema ndilo litakalojadiliwa, Chama kimekuwa na nguvu ya Ushawishi ya kutisha kwa sasa. Huu ndio muda wa kusukuma mbele Ajenda za Katiba...
12 Reactions
58 Replies
688 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
513K Replies
29M Views
Uchambuzi wa kitabu cha Lisa EATING TO CONCEIVE, (Kula Upate Mimba) Kanuni ya 16 na ya Mwisho:Usitumie Vyombo vya Plastiki, Husabisha Ugumba 1. Mwandishi Lisa anasema *usitumie vyombo vya...
1 Reactions
2 Replies
14 Views
Habari nina pesa mahali na njia pekee ya kutoa ni paxum au webmoney WMZ je nitapokeaje kama naweza kupata hizi account then direct to my m-pesq with no verification or someone can help me to...
2 Reactions
4 Replies
23 Views
Wanaukumbi. Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Israel Yitzhak Brik: Netanyahu anajua kwamba kuendelea na mchakato huu kutapelekea kuporomoka kwa Taifa la Israel kijeshi, kiuchumi, kisiasa na kijamii...
0 Reactions
9 Replies
62 Views
Dah eti "kila mtu ana mshahara wake tusipelekeshane" ujinga sana huu wakuu. Sina mengi.
18 Reactions
62 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,851,365
Posts
49,571,756
Members
667,904
Latest member
kipscalich
Back
Top Bottom